talibomtoto
Member
- Nov 15, 2017
- 43
- 18
Asante sana ngoja nifanye mpangoKamuone Daktari (ENT) Inawezekana kuna uchafu. Mimi niliwahi pata hiyo hali nilivyoenda kwa daktari alitoa uchafu mpaka nikashangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa. Vp kuhusu hospitali hapa Dar, tafadhali mshauriPole mkuu, hilo tatizo linaweza likasababishwa na matumizi fulani ya dawa hasa Quinine za malaria, pia huweza kusababishwa na uchafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ufafanuzi plizHizo ni nta mzee... Inabid ukafanyiwe syringing. Ni procedure ya dkka kumi tu
IPO sehem gani maana nitakuja mwez kumi mwanzon huko
AsanteHizo ni nta mzee... Inabid ukafanyiwe syringing. Ni procedure ya dkka kumi tu
AsanteChukua kitunguu saum uwe unaweka unalala nacho ikifika asubuhi kitoe au nyunyizia mafuta ya kuku
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhuuuu cjawahi kuuumwa mareliaPole mkuu, hilo tatizo linaweza likasababishwa na matumizi fulani ya dawa hasa Quinine za malaria, pia huweza kusababishwa na uchafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu hata mimi hiyo hali ilinitokea kwa siku tatu mfululizo sikio la kulia,ila imeacha yenyewe jana asubuhi.Sikio langu moja la upande wa kulia linatoa saut fulan ivi zinaninyima aman si mchana wala usiku saut haziishi
Nipo njombe nauliza kama kuna hospital nzuri ya maskio maana ni mwez sasa umepita tangu tatizo lianze
Naomba msaada wenu
Sent using Jamii Forums mobile app