Raymor wa Jublea
Member
- Mar 3, 2017
- 14
- 6
Ni mara tu baada ya kulisafisha kwa kuingiza maji wakat nachukua udhu liliingia maj likaniuma na sasa halisikii.Naombeni msaadan nilitibu vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mara tu baada ya kulisafisha kwa kuingiza maji wakat nachukua udhu liliingia maj likaniuma na sasa halisikii.Naombeni msaadan nilitibu vipi?
Ni mara tu baada ya kulisafisha kwa kuingiza maji wakat nachukua udhu liliingia maj likaniuma na sasa halisikii.Naombeni msaadan nilitibu vipi?
weka mafuta ya kukumi sikio langu linafanya chwiii ni mwezi sasa linafanya hivyo nisaidieni wa JF
Na Mimi vivo hivyo tusaidieni jamànimi sikio langu linafanya chwiii ni mwezi sasa linafanya hivyo nisaidieni wa JF
nenda hospitali kwa bingwa wa masikio pua na koo.USITIE CHOCHOTE HUNA HAKIKA KAMA UMELIJURUHI KWA NDANI.Ni mara tu baada ya kulisafisha kwa kuingiza maji wakat nachukua udhu liliingia maj likaniuma na sasa halisikii.Naombeni msaadan nilitibu vipi?