Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni cartilage zimesagika, poleni, itakuwa alipatwa maumivu uyoHello jf doctors,
Kuna jamaa kapata accidents hapa,Sasa katika maelezo ya daktari tunaambiwa mfupa was sikio la jamaa umesagika sasa, shida yangu ni kuelewa je, sikio lina mfupa?
Acha uongo!!!ndio ni mifupa midogo midogo ndio maana linakua kwenye shape hiyo ya sikio tofauti na hapo lingekua kama nguo inaninginia
kuna misuli inayosaidia ndio maana iko flexible kiasi chakuweza ku_romance. Somo la biology limeeleza vizuri labda kama ulikimbia umande, ila sidhani. Bila mifupa tusingekua na shape hii tulionayo pengine tungekua kama minyoo au lava. Nb: kwenye mwili wa binadamu sehemu yenye mifupa midogo zaidi ni sehemu ya sikio. Labda ndio maana kuna shaka juu ya uwepo wake.Acha uongo!!!
Mbona lips (midomo) hauna mfupa lakin hauning'inii