Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee mkaldayo ulipoteleaga wapi?CCM planted seeds for it owns destruction. Discuss
Ametamani kuwa waziri.........Mungu amsaidie!Habari ambazo zimetrend jioni hii, ni kuhusu tetesi za kuhamia ccm kwa mbunge wa Arumeru Mashariki, ndugu Joshua Nassari. Kwa mujibu wa chanzo changu cha habari, ndani ya masaa 72 yajayo usajili utakuwa umekamilika. Tuendelee kuvuta subira
Dogo naona unatuiga mimi na Elon Musk kupiga kitu cha Arusha. Iga ufeKama mtanzania hajaenda shule ajaribu ajira 2.
1) Mganga wa kienyeji + Mtabiri wa nyota
2) Mwanasiasa hata uwe na elimu vipi mwisho utaishia kuwa kilaza.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
How? Are you saying they are buying a very live hand grenades with pin on it?CCM planted seeds for it owns destruction. Discuss
CCM planted seeds for it owns destruction. Discuss
Kweli! Hii kingresa ya dongobesh haitumiki hata karatu mjini!'Tatizo hujawahi fika Wingreza'
Ha ha ha 😂😂😂 tupe dalili za huu ugonjwa ili tuwabaini watu wa aina hiyoDaaaa Professor Jay nadhani pia yupo mbioni
Njaa mkuu na hofu yakurudi uraiani tena.Ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23] tupe dalili za huu ugonjwa ili tuwabaini watu wa aina hiyo
Kha! Ndiyo hivyo? Basi R.I.----mr mbunge!Mkewe anautaka Ujaji wa Mahakama Kuu, sasa njia pekee ya kuwa Jaji ni mumewe kujiunga ccm ili yeye ateuliwe.
Ni shiiida madalali wa siasa huko CCM wanahaha kula 10%za ununuzi Wapinzani wa dakika za mwisho kabla ya kushinda njaa mpaka 2020 ambapo kuna vita mpya itakuja endapo wabunge walionunuliwa sasa majina yao hayatapenya kwenye kura za maoni na kamati kuu ya CCM huko Dodoma.Kama mtanzania hajaenda shule ajaribu ajira 2.
1) Mganga wa kienyeji + Mtabiri wa nyota
2) Mwanasiasa hata uwe na elimu vipi mwisho utaishia kuwa kilaza.
Kila nyumba Tanzania ukikosa mshirikina basi utakutana na mpenda siasa.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Huyo kwa kweli si mpinzani ni mpole mno mpaka anaudhi, hana ujasiri kama wa Sugu.Daaaa Professor Jay nadhani pia yupo mbioni