Siku ambayo siwezi sahau

Haaaaaaaah haaaaaaaaah..! Damn nimecheka mpaka tears zikatoka...... Dunia ina mambo sana ukiwa wayachunguza waweza kuwa unsound
 
Niliwahi kusema humu siku za nyuma. Hata swala la kumtongoza mwanamke anakataa halafu unabembeleza huwa halifai maana hujui kinachomfanya akatae. Akisema hapana au sitaki, tulia angalia mengine, na si kujinunisha kama mtoto au kuanza kujilizaliza. Najua nachokisema.
 
Kweli kabisa kiongozi dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…