Nilifurahi sana half ya kwanza ya mchezo Brazuca walipokula 5-0, nilitegemea half ya pili wakoloni wetu wangepiga 5 nyingine ili kukamilisha idadi ya kumi!!!!Hahahahaa mimi hua nacheka unavyopenda kusema 'Gozi lako'....
Hiyo siku naikumbuka na nilifurahi sana maana siipendi Brazil.
Nilifurahi sana half ya kwanza ya mchezo Brazuca walipokula 5-0, nilitegemea half ya pili wakoloni wetu wangepiga 5 nyingine ili kukamilisha idadi ya kumi!!!!
Looooh! wakaishia kupata mawili, nadhani wabrazil waliomba wasipigwe nyingi manake kama sio 9 au kumi zilikuwa halali yao.
Was a very bad day for me. Wajerumani siwapendi sio kwa sababu ya rangi yao bali kwa sababu ya ubaguzi wao kwa waafrika.
cc Mwl. Nyerere