Siku ambayo wapenzi wa soka hawataki kuikumbuka

Na ujanja wote huo FaizaFoxy unashabikia timu ya mabunduki ya mchina..? Lazima utakuwa unakaa karibu na hospitali wewe.. Au gozi wako amekaa stand by na vidonge vya ugonjwa moyo lol..


Hii historia hata Brazil hawakuweza:

Reading vs Arsenal 5:7 - Best Comeback in Football History


 
Last edited by a moderator:
Hahahahaa mimi hua nacheka unavyopenda kusema 'Gozi lako'....
Hiyo siku naikumbuka na nilifurahi sana maana siipendi Brazil.

Huyo Faiza sometimes ana matatizo, hilo jina 'gozi' kwa wanaume linamaanisha mwanaume mwenye gozi ni yule ambaye hajatahiriwa. Faiza chunga namna unavyotumia baadhi ya maneno.

Vv
 
Huyo Faiza sometimes ana matatizo, hilo jina 'gozi' kwa wanaume linamaanisha mwanaume mwenye gozi ni yule ambaye hajatahiriwa. Faiza chunga namna unavyotumia baadhi ya maneno.

Vv

Hata neno 'mungu" kwenye biblia kuna wakati linatumiwa kwa shetani, umesahau?

Gozi ni Gozi na govi ni govi, tuondolee hizo tafsida zako za kufikirika,
 
Hata neno 'mungu" kwenye biblia kuna wakati linatumiwa kwa shetani, umesahau?

Gozi ni Gozi na govi ni govi, tuondolee hizo tafsida zako za kufikirika,

Faiza, wahusika wenyewe wenye ndevu ndio tunakwambia hiyo siri lkn wabisha. Sasa kamuulize huyo mahabuba wako maana ya gozi kwa mwanaume inamaanisha nini akupe majibu.

Vv

Vv
 
Mi mpaka leo maumivu hayajaisha!

Hii hata Ujerumani wenyewe walishangazwa na hayo matokeo.


Pole sana.....nakumbuka that day...
everything went wrong for Brazil....
do maana Dunga now kaisuka timu hasa defense
watu wengi mno watashangaa wachezaji wale wale lakini wakicheza na German leo
wanaweza kuwafunga ujerumani....

Tatizo lilikuwa Scolari....alikuwa mbishi mno...
hakuingiza timu na tahadhari zozote....
German machine was on fire...
 

Mimi mpaka leo naamini kabisa kuwa Brasil waliwapa ushindi wa bure kabisa Ujerumani.

Kwa sababu ukiangalia magoli waliyokuwa wanafungwa yalikuwa ya kizembe mno.

Na wakicheza leo Brasil inaweza kabisa kuwafunga Ujerumani.

Kumbuka kuwa sasa hivi wameongezwa wachezaji wengine ambao Scolari aliwatosha - Diego Tardelli - mfungaji magoli huyu dizaini za kina Ronaldo na Romario, kuna Phillipe Coutinho na Filipe Luis.

Pia kuna Everton Ribeiro na Neymar ambaye ni hatari muda wote.

Ile game ilikuwa ni anomaly tu na bahati mbaya ilitokea kwa Brasil.

Kufungwa magoli saba kwenye soka ni nadra sana.

Lakini kamwe siwezi kui count out Brasil. Talent pool yake ni deep sana.
 


Scolari mbinu zake ni outdated
Brazil wana pool kubwa na talented individuals wengi sana
lakini mpira unabadilika daily
Siku ile ni kama walicheza mpira wa kizamani...

kwenye mpira kuna 'artists' na 'soldiers'
lazima uwe nao both ili uweze kushinda
siku ile ilikuwa team yenye very good soldiers(germany)
againsts timu yenye 'all artists' ambao wali lack a lot of artistry pia
 

Sidhani kama walicheza mpira wa kizamani. Wangecheza mpira wa kizamani, say wa 1994 au 2002 basi huenda wangeshinda.

Siku ile hawakucheza kabisa. Hata Ujerumani wenyewe walishangaa na kilichokuwa kinatokea.

Sasa inapotokea hata mpinzani wako anashangaa na kinachokutokea basi jua hauko sawa kabisa.

Mbona Argentina hawakufungwa magoli saba? Algeria iliwatoa kamasi na almanusra iwafunge.

Na hao hao Argentina walipata fursa nzuri tu za kushinda ile fainali na kama nakumbuka vizuri kuna goli walikataliwa.

Jaribu kuangalia ile fainali ya 2002 ambayo Brasil walicheza na Ujerumani....timu ya Brasil mwaka 2002 ilikuwa star studded....alikuwepo Ronaldo...Ronaldinho...Rivaldo...Roberto Carlos....na Cafu.

Huwezi kuifunga timu yenye hao wachezaji.
 
hahahahaa mimi hua nacheka unavyopenda kusema 'gozi lako'....
Hiyo siku naikumbuka na nilifurahi sana maana siipendi brazil.

mwenyewe kuitwa hivyo anajua kuwa yeye anaitwa hivyoo ''gozi''???
 

utaolewa linii weyeee?????
Achana na kuchezea migov... Sory migozi
 
Last edited by a moderator:
nakumbuka siku hiyo nilikuwa nimekaa karibu na mpendwa mmoja hivi..baada ya lile goli la tatu tusi lilimtoka mdomoni mwenyewe nikashangaa..nikamwambia mtumishi leo shetani yu nawe..wajerumani walichafua hali ya hewa siku ile kwa kweli
 
Faiza, wahusika wenyewe wenye ndevu ndio tunakwambia hiyo siri lkn wabisha. Sasa kamuulize huyo mahabuba wako maana ya gozi kwa mwanaume inamaanisha nini akupe majibu.

Vv

Vv

Gozi langu liache halina habari na hizi habari zenu za govi kuwa gozi, hizo peleka hukohuko kwa mkeo.
 


Umeanza vizuuri umekuja maliza kwa ushuzi

Inaelelkea unaizungumzia Arsenal ya mwaka arobaini na saba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…