Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Hiki chama ni Cha wababe yaani wanaweza wakasema mlale saa 12 na mkalala na hamna mtachofanya sababu vyombo vya ulinzi vimepakatwa na CCM
Nawaambieni mkitaka mtoboe maisha tokeni bongo njooni huku USA, manigga tunaishi kwa kubeba box ila pesa yake naweza kuajiri wafanyakazi wa 10 wa hapo Tanzania kutoka Serikalini na nikawalipa mara mbili ya pesa wanayolipwa na wababe CCM
Nawaambieni mkitaka mtoboe maisha tokeni bongo njooni huku USA, manigga tunaishi kwa kubeba box ila pesa yake naweza kuajiri wafanyakazi wa 10 wa hapo Tanzania kutoka Serikalini na nikawalipa mara mbili ya pesa wanayolipwa na wababe CCM