Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwanna
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Hapo kipindi cha nyuma ngosha the don alihusishwa kuwa na beef na john makin mwamba wa kaskazin
Beef hilo lilifikq hatua likawa kubwa sana midomon mwa mashabiki na kufikia hatua kukawq na team joh na team ngosha kitu ambacho ngosha kama ngosha hakukipenda kabisa
Ngosha alitaka kila msanii apambane na hali yake na kila msanii apimwe kwa mashail yake na wala siyo kuingizwa kwenye beef la kutengenezwa
Ngosha aliamua kujiondoa kwenye beef na kuieleza dunia kuwa yeye hana beef na joh kama watu wanavyozan na kuonesha jamaa kwel anataka kunawa hadi alianza kusapot kaz na joh na kuzpost mitandaon kiroho safi kabisa
Lengo la kupost kaz za joh ilikuwa ni kumuqcha apambane na hali yake na wala siyo kujinifuasha kwa beef lakutengenezwa
Matunda sasa yameonekana joh kafulia vibaya sana hajulikan hata muzik anaofanya ni upi kama analap au anabana pua
Watu washaanza kumsahau joh lakin ngosha bado yuko juu kinoma na anaendela kufanya poa sana na mashabiki wanakubal kaz zake
Kwahiyo ngosha ana akili nyingi sana na hapa tunapata kujua kuwa kumbe joh alikuwa ananufaika sana na beef la kutengenezwa lililokuwepo kati yake na FIDQ
NI HAYO TU UKINICHUKIA SIKOS HELA
BOY FROM LONDON
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Hapo kipindi cha nyuma ngosha the don alihusishwa kuwa na beef na john makin mwamba wa kaskazin
Beef hilo lilifikq hatua likawa kubwa sana midomon mwa mashabiki na kufikia hatua kukawq na team joh na team ngosha kitu ambacho ngosha kama ngosha hakukipenda kabisa
Ngosha alitaka kila msanii apambane na hali yake na kila msanii apimwe kwa mashail yake na wala siyo kuingizwa kwenye beef la kutengenezwa
Ngosha aliamua kujiondoa kwenye beef na kuieleza dunia kuwa yeye hana beef na joh kama watu wanavyozan na kuonesha jamaa kwel anataka kunawa hadi alianza kusapot kaz na joh na kuzpost mitandaon kiroho safi kabisa
Lengo la kupost kaz za joh ilikuwa ni kumuqcha apambane na hali yake na wala siyo kujinifuasha kwa beef lakutengenezwa
Matunda sasa yameonekana joh kafulia vibaya sana hajulikan hata muzik anaofanya ni upi kama analap au anabana pua
Watu washaanza kumsahau joh lakin ngosha bado yuko juu kinoma na anaendela kufanya poa sana na mashabiki wanakubal kaz zake
Kwahiyo ngosha ana akili nyingi sana na hapa tunapata kujua kuwa kumbe joh alikuwa ananufaika sana na beef la kutengenezwa lililokuwepo kati yake na FIDQ
NI HAYO TU UKINICHUKIA SIKOS HELA
BOY FROM LONDON