Siku Fid Q alipoamua kumuacha kwenye mataa John Makin bila huruma

Kwa ujumla game nzima ya bongo fleva ilishafika kwenye kilele na sasa ndio inadondoka. Ni suala la wasanii kukubaliana na hali halisi.
Kwa kuongezea hapo, Fid Q alikuwa mjanja sana kuizima hiyo watu walikuwa wanasema ni beef.
 
Naomba kukuuliza. Ni muziki upi na wa msanii yupi unaoingiza fedha!? Na hizo fedha wanazipigia wapi!? Kwenye shows, ringtones, mauzo ya download?s
Unaingiza vp hela kwa mziki aina ya NICOME? Mara yako ya mwisho kwenda show ni lin mkuu
?
 
Wanaopata shows sasa hivi ni wasanii gain!? Naomba unitajie!
Uingize hela kwa mziki upi aisee kwa huu huu aina ya nicome au upi kwa taarifa yako kwa sasa weus hawapat show kama zaman mkuu na wameshuka sana kiongoz
 
Unaingiza vp hela kwa mziki aina ya NICOME? Mara yako ya mwisho kwenda show ni lin mkuu
NDO MIZIKI INAYOPENDWA ONA WOWOWO AU MUZIKI-DARASA ,NGOSHA NI MSANII MWENYE HESHIMA KUBWA KWENYE HIPHOP INAYOSHABIKIWA HASA NA VIJANA WAHUNI WA STENDI ,WANAFUNZI WASIO NA MKOPO CHUO ,VIJANA WASIO NA AJIRA HUWEZI PATA HELA HUKO ,HUWEZI MKUTA KIJANA ANA MASTERS YAKE YA SHERIA KAGHOROFA NA LAW FIRM YAKE ANASHABIKIA NYIMBO ZA NGOSHA ''MBANDIDU'' YEYE MWENYEWE SASA HIVI ANAPAKA PODA BAADA YA KUACHANA NA KUNDI HILO KWA KUPATA PESA
UKIAMBIWA HUYU MUIMBA TAARABU ZANZIBA NA HAKO KATABASAMU KAKUWEKA LIPSI KAMA WASAFI UTAAMINI
 
Naomba kukuuliza. Ni muziki upi na wa msanii yupi unaoingiza fedha!? Na hizo fedha wanazipigia wapi!? Kwenye shows, ringtones, mauzo ya download?s
?
Mziki mzur unaingiza pesa kokote

A shows
B YouTube
C matangazo

Msanii hategemei pesa za kudownload au lingtone

Wasanii wote wanaoimba mziki mzur ndo wanapata pesa hasa YouTube na show na matangazo

Mfano dimomd, kiba, darasa sema naye nasikia ni teja, aslay, young killer
 
Wanaopata shows sasa hivi ni wasanii gain!? Naomba unitajie!
Mkuu wasanii wote kwa sasa wanapata show sema show za WEUS zimeshuka sana sio kama zaman kipindi wanafanya mziki wa kukonga moyo
 
Q ni rappa mzuri sana lakini sidhani kama yupo juu ya Joh .....kimistari Tanzania hii nadhani kwenye watatu Q hakosekani ila Joh anaweza hata kwenye tano asiwepo mpaka kumi...kiuhalisia Joh makini now ni marketable than Q
 
Mkuu kwahiyo prophesa juma kapuya na shivji nao ni wapiga debe stand mbona wanamsifia sana jamaa na wanauelewa mziki wake

Unazungumzia vp kigwangala makonda ambao ndo mashabiki namba moja wa ngosha

Kwahiyo show zote anazopiga huwa wanaenda kuingia wapiga bede na wanafunz wasio na mikopo

Kuanzia ijumaa na jumamos na jumapili jamaa alikuwa na show na alijaza watu au nao walikuwa wapiga debe
 
Kwahiyo mziki ni nini? Siyo kazi?

Alishasema hakat kaz za kuajiriwa kamsikilize tena ulud hapa mkuu
Hiyo ndo kazi aliyoamua kuchagua kufanya ndo maana akasema hataki kazi ya kuajiriwa hata ni PhD holder
 
Mkuu wanafiki hao hata hawasikilizagi nyimbo za hivyo mi mwenyewe wakati niko chuo nilikuwa gangsta balaa nimeimba hadi freestyle pale britisgh counsel na kina chavala sijui ulikuwa na umri gani mkuu 2005 ,nimekuwa mpambe wa mr yo rap bonanza lakini trust me huwa ni stage tu hiphop ni mziki ulianzia malalamiko ya watumwa ukaenda kuwa silaha ya ukombozi wa mtu mweusi sasa nilimaliza chuo nikapata kazi nkanunua ka harrier ,jenga kanyumba na tumiradi twa hapa na pale nkaacha kunywa viloba nkaanza kunywa heinkein ovious muda baada ya kazi nakutana na wafanyabiashara wakubwa kuwashauri mambo yao kisheria hawaniitii tena b bar sinza waliko masela wangu bali 3 star hotels japo sina utajiri ila they need my mind ,muda mfupi nikapata mwanamke nkaoa na watoto ni wazi vinaanza vimaneno kwamba jamaa misimamo ya hiphop imelegea ,offcoz i won my battle ,jay z masela wake walimuita kumshitaki amechange na hawatembelei kitaa jibu lake lilikuwa ''nigga i neva hustled to be the same'' ndo ilivyo kwa joh makini hakuna siku ya week end hana shoo na weusi .ila fid q sijapata muona kabisa
 

Attachments

  • seen.jpg
    7.2 KB · Views: 46
  • yuyu.jpg
    247.5 KB · Views: 44
Hapo umetaja dhania tu. Ungefanya vyema kuja na takwimu. Ukisema tu wameshuka , je, wamefanya shows ngapi!? Hao wengine nao wamefanya ngapi!? Vilevile mapato yao ni kiasi gani? Maana naweza kufanya show moja kwa milioni 2, na wewe ukafanya shows 2 kwa hiyo hiyo milioni 2, je, hii inakufanya wewe kuwa umelipwa zaidi!?
 
Jo siku hizi anaimba full ungese ETI BBY NATAKA KU "COME",usenge mtupu.

Ngosha ye amekalia kutembea barabarani akiwa amevaa pensi na masoksi marefu mpk magotinii anajiona bado ni mtoto mdogo kama wakina ASLAY
 
Mkuu unaweza kunambia joh wekend hii alikuwa na show pande zp
 
Muziki ni kazi kama ya RC bashite, they do it for money. Kujifanya mwanaharakati halafu una njaa ni zero, fid q kalitambua hili sasa yupo kimziki zaidi si kukaza kama zaman. In short anaangalia nini soko linataka.
Kama hujanielewe FRESH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…