Siku gani ni nzuri kwa kunywa pombe ?

Halafu haiongezi kitu chochote mwilini zaidi ya migogoro ya kifamilia kupunguza salio nakujidanganya tu!!

Vyote hivi wanywaji tunavijua cha ajabu sasa bado tutaendelea kunywa. Nachukia sana hii kitu ku control my head.
 
Pombe kwakweli sio nzuri. Mimi sioni faida yake kabisa. It is 100% poison [emoji879]️ tunajua lakini bado tunakunywa. Inaharibu figo, ini hata kusababisha magonjwa mengine. Nailaani sana hii kitu. Ipo siku nitaivunja ndoa hii.
Aseee...nakutabiria hutaiacha mkuu
 
Siku ukiwa huna pesa maana ndio siku pekee unayoweza kunywa kiustaarabu
 
Vyote hivi wanywaji tunavijua cha ajabu sasa bado tutaendelea kunywa. Nachukia sana hii kitu ku control my head.
Utaacha tu mkuu,tena iyo siku unaeza kwenda bar ukaagiza bia ikafunguliwa kabisa ukasema rudisheni sitaki tena!!
Hivi vitu mbona tunaacha ili mradi tuwahi nyumbani tukae karibu na familia zetu!!
Mimi mwenyewe nilikua narudi home fungi kabla sijafika nakula ndizi mbivu then natafuna mint,wife siku iyo kapewa taarifa niko ellys pub toka siku iyo napiga Mara moja kwa wiki na nilikua ni daily
Ila nakoenda naona kama naacha
 

Hongera mkuu. Umefikia hatua nzuri. I am also heading there!
 
friday then unazimua jmosi alafu jpili unapumnzika.... hyo ndio ratiba yangu
 
Bajeti yako kiasi gani??! Tuanzie hapo kwanza
 
Mkuu. Help a brother to live a healthy life [emoji23][emoji23]Nakuahidi nitaivunja ndoa hii.
Usema kweli pombe ni mbaya but mziki uko ktk kuacha sasa!?

Unaacha ili ufanyeje je una mbadala wa hiyo starehe? That's the main issue!
 
Mmmh hapana..usiniombe niache yakisikilizwa nitapata tabu sana,subiri subiri kwanza mda ukifika nitakuambia uniombee
Bwaahaaahaaaaa....kichaa wangu, nilijua utalipuka na bomu tuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…