Idea ni nzuri lakini kwa Wa Afrika hasa WaTZ haya mawazo kufanya kazi bado sana mana bado tunaamini kila kitu ni upigaji na ubinafsi mwing hatupendi kushirikiana katika mambo ya msingi hapa utasika watu wana comment kuna harufu ya upigaji. Otherwise naunga mkono hojaUzito unaanzia kwako na mimi
Mie naona iitwee tuu Jamii SACCOS itapendeza zaidi mana ikikua haitakua ya JF Members onlyUpdates:
Kwanza, naomba kuwashukuru mapenzi wanaounga mkono mchakato huu na wale wanaonyesha dalili za kuunga mkono safari hii. Ahsanteni sana kwa niaba ya JF Members SACCOS.
Nitakuwa naweka updates kwa kadri ninavyozipokea na kuona zinafaa, lengo ni kuonyesha muelekeo wa hili wazo. Hata tukianza wawili tutajaribu kwa nguvu zetu zote kuona hili linafika wapi.
Kuna member mmoja ameniuliza inbox. Je, ni lazima ID yake itambulikane kwa umma wa JF?
Nikamjibu:
Nionavyo mimi kwa sasa (japo sijui wanachama wengine watakuja kuonaje baadaye) ni ngumu ku monitor ID za wanaJF. Naona tu maadam mtu ni mteja wa JF kwa maana ana visit JF awe kama member ama guest huyo tayari anafaa kuwa mwanaSACCOS
Mkuu we ni mbobezi wa JF sidhani kama ni sahihi kujibu kirahisi ivo embu tupe mawazo mbadala au kwa nn umehisi tutapigwa
Hakuna update yoyotee...
Hata mimi niko tayari hata sasa hivi, leteni mpesa namba tunaweza kuanza sasa hivi kuchangiaWewe ungeweka mpesa hapo watu wachangie,show that you are serious
😷😷😷nakumbuka..nilikua group moja na ww😷Hahaaa hii kitu tuliazisha na kutoa michango ila mwisho wa siku ilikufa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeongea point sana hasa pale uliposema mtu awe na uwezo wa kununua na kuuza hisa zake wakati wowote.Kuongezea apo kwenye app
1. Itakua na sehemu ya current news ili watu wapate update kirahisi
2. Itakua na information za kujisajili kikundi
3. Kupokea feedback
4. Na features nyingine nyingi (labda user kuona maeneo zilizopo wings, fullfillments etc)
5. Pia unaweza kuweka sehumi ambapo user wa eneo husika wanaweza kuunda kikundi au user kuomba kujiunga na kikundi flani (inamaanisha kutakua na profile ya kila kikundu kutoka wings zote za jf saccos)
hayo ni maoni au nyongeza inayoweza kutumia kuhakikisa ndoto yako ya saccos inatimia kama itakupendeza unaweza kutumia hayo maoni yangu hayana copyright ni free to everyone good luck mkuu
C.c mkuu mwenye mada
mwingine anaweza kuongezea hapo kwenye maoni yangu ili kumsaidia huyu mkuu, mm nimefikia mwisho hapa
mwisho 4/4
Bonge la point ....!!!Kuongezea apo kwenye app
1. Itakua na sehemu ya current news ili watu wapate update kirahisi
2. Itakua na information za kujisajili kikundi
3. Kupokea feedback
4. Na features nyingine nyingi (labda user kuona maeneo zilizopo wings, fullfillments etc)
5. Pia unaweza kuweka sehumi ambapo user wa eneo husika wanaweza kuunda kikundi au user kuomba kujiunga na kikundi flani (inamaanisha kutakua na profile ya kila kikundu kutoka wings zote za jf saccos)
hayo ni maoni au nyongeza inayoweza kutumia kuhakikisa ndoto yako ya saccos inatimia kama itakupendeza unaweza kutumia hayo maoni yangu hayana copyright ni free to everyone good luck mkuu
C.c mkuu mwenye mada
mwingine anaweza kuongezea hapo kwenye maoni yangu ili kumsaidia huyu mkuu, mm nimefikia mwisho hapa
mwisho 4/4