Siku hizi kila kinacho tokea kinahusishwa na freemasons, ni ugumu wa kufikiri ama?

Siku hizi kila kinacho tokea kinahusishwa na freemasons, ni ugumu wa kufikiri ama?

malinda

Senior Member
Joined
Oct 20, 2012
Posts
196
Reaction score
32
hata suala la harakati za sheikh ponda na uamsho kule znz tunaambiwa eti freemasons wanahusika,.. Magazeti ya udaku ya bongo ni laana taanza kuandika habari zenye kufikirisha bongo?
 
Mkuu mbona umeweka uzi siko?au ndo nitoke vp?
 
Umekosea gear ya kuingilia mgeni unakuja na shari hapa utapata ban

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom