Siku hizi kuna machangudoa Moshi?

manSniper

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
814
Reaction score
680
Miaka ya nyuma ilikua ngumu sana kwa mji wa Moshi kukuta wanawake wanajiuza hii ilitegemea na maadili ya dada zetu wa kichaga nimeshangaa sasa mitaa ya TANESCO Malindi clab kukuta wamejipanga kwa kuuza miili yao kuna wengine wa mikoa wamevamia kuja kuwafunza hawa dada zetu jinsi ya kuuza miili yao?
 
Wapo kibao hapa Ms wadada wanajiuza na ni wachaga ila wapo km magogo ila wazuri hajabu
 
manSniper

Machangudoa wamekuwepo moshi toka zamani! Labda kama zamani unayoizungumzia ni ya enzi za mawe!
Kuna mtaa ulikuwa unaitwa "mafuta street" miaka ya sabini ulikuwa ni mtaa maalumu wa makahaba! Labda watu wa moshi watuambie kama huo mtaa bado upo!
 
Last edited by a moderator:
Makahaba wapo wengi sana moshi na hii inawezekana nayo imesababishwa na ccm lbd ukawa wakiingia watarekebisha hali hiyo ikiwa ni pamoja na kurasimisha biashara hiyo
 

angalia huyu dada zako wanauza kila sehemu tz kwa sasa
 
Machangudoa wapo sana has a pale Malindi club.....mi nilifanya field mwaka 2008 bado walikuwepo sana
 
Moshi mbona hio mizigo ipo wahuni wanajichapia mbichi tu,mi nko ushirika pale na nights kuanzia sa3 uki cruise mitaa ya malindi kushuka mpaka usawa wa voda house hao watu wapo tu.Sio jana wala sio juzi. wengine wanakuwepo nje ya Pub Alberto/Chris Burger midnight!
 
Duh!nilikua sielewi nikija moshi taponaje,kumbe hao na huko wapo,itabidi ninunue hizo bidhaa aisee!
 
Dah! Bora kama hometown wametambua umuhimu wa hiyo huduma...nikitua tu lazima nikataste ladha ya home bhana.
 
Mwezi ujao nakwenda moshi nitakaa kama miez3, nilikua najiuliza niondoke na wife au, kumbe bidhaa zetu za chapchap zipo itabidi abaki tu.
 
Wewe labda unakaa migombani mbona hiyo biashara ipo kila sehemu,hapo moshi mitaa ya uswahilini kama mbuyu mafuta street ilikuwa tena kuna wamama maarufu waliokuwa watesa miaka ya zamani na watoto na wajukuu zao wanaendelea.hivi hujui kama hapo karibu na stand ya mboya kuna madanguro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…