Siku hizi Moshi mjini pamepoa sana

Siku hizi Moshi mjini pamepoa sana

AlphaMale

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2019
Posts
613
Reaction score
1,416
Mitaa ya Malindi na Pub Alberto hamna amsha popo kama zamani, watu hamna kabisa kwenye hizo club siku za weekend; hata Malaya wanaojiuza wako wachache sana, tena waliopo ni wale wenye sura mbaya, wakati hiki ni kipindi cha sikukuu.
 
Write your reply...uchumi umekuwa mgumu pesa zimekuwa changamoto kuzipata subiria tarehe 22 halafu ulete mrejesho
 
Back
Top Bottom