Mikopo Chefuchefu JF-Expert Member Joined May 15, 2017 Posts 3,373 Reaction score 6,795 Aug 3, 2020 #21 Hii akili ungeitumia vizuri, leo hii huenda na wewe ungekuwa unaiuzia serikali Tanzanite kama bilionea Laizer!
Hii akili ungeitumia vizuri, leo hii huenda na wewe ungekuwa unaiuzia serikali Tanzanite kama bilionea Laizer!
Tajiri wa Magomeni JF-Expert Member Joined Aug 21, 2019 Posts 4,274 Reaction score 2,935 Aug 3, 2020 #22 ntarudi
Ndekrepha JF-Expert Member Joined Jun 4, 2020 Posts 1,506 Reaction score 2,660 Aug 4, 2020 #23 Never get high on your own supply. Sawa sadari? Maana naona unajichoma tu hadi umepitiliza viwango. Hahaha vijana mko na kazi sana. Kula bangi na kukosa hekima, busara na utulivu ni shida sana.
Never get high on your own supply. Sawa sadari? Maana naona unajichoma tu hadi umepitiliza viwango. Hahaha vijana mko na kazi sana. Kula bangi na kukosa hekima, busara na utulivu ni shida sana.