"Siku hizi uko wapi?" ni swali linalonikera. Chini ya Rais Samia, huenda nikapata jibu lake

[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu nikajua niko pekee yangu kumbe niko na wewe yani mtu ukimjibu nipo tu haamini anajua kuna sehem flani nzuri kumbe wapi sijui kwanini hawaamini[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu nikajua niko pekee yangu kumbe niko na wewe yani mtu ukimjibu nipo tu haamini anajua kuna sehem flani nzuri kumbe wapi sijui kwanini hawaamini[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ramani bado haisomeki na hili swali bado linaendelea kushamiri, vipi kwa upande wako mkuu
 
Hongera sana mkuu kwa hatua nzuri uliyofikia
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu nikajua niko pekee yangu kumbe niko na wewe yani mtu ukimjibu nipo tu haamini anajua kuna sehem flani nzuri kumbe wapi sijui kwanini hawaamini[emoji23][emoji23][emoji23]
Kule kwetu nikumuambia Niko dsm au ddm wanajuwa nineshatoka nikula maisha sas huwa Mara nyingi nawapiga sound kuwa Niko singida [emoji23] ili Hali Niko jiji dsm au nawambia Niko ddm kwa kak angu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huwaga nawaambia kuna ishu nasikilizia..... wakiuliza mara ya pili huwa nazidi kuwaambia
Kuna ishu nasikilizia....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…