Siku hizi wanawake wasomi hawatumii tena ubini (surnames) za waume zao pekee. Kuachana ni muda wowote

Siku hizi wanawake wasomi hawatumii tena ubini (surnames) za waume zao pekee. Kuachana ni muda wowote

Thomas Brown

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2025
Posts
344
Reaction score
856
Daaah, ila maisha yanaenda Kasi sana.

Alipokuwa msichana mrembo pale ITV na Redio One alijulikana kama Beatrice Chalamila Binti kutokea Mkoani Iringa.

Baada ya kupagawa na usakataji kabumbu pamoja na uhandsome wa mkaka aliyejulikana kama Boniface MKWASA, mchezaji wa timu ya Young Africans, basi wote wakafunga ndoa na leo haitwi tena Beatrice Chalamila bali ni Beatrice (Betty) MKWASA.

Leo hii Zawadi Makata baada ya kupata degree yake moja pale UDSM na kuolewa na Chambuso Mandunduza, Zawadi anagoma kuitwa Zawadi Mandunduza bali anataka kuitwa Zawadi Makata Mandunduzi, ili wakiachana mwakani aweze kuondoa ubini mmoja tu wa mumewe na yeye aendelee na 50 zake.

Daaah, kweli maisha yamebadilika sana..
 
Daaah, ila maisha yanaenda Kasi sana.

Alipokuwa msichana mrembo pale ITV na Redio One alijulikana kama Beatrice Chalamila Binti kutokea Mkoani Iringa.

Baada ya kupagawa na usakataji kabumbu pamoja na uhandsome wa mkaka aliyejulikana kama Boniface MKWASA, mchezaji wa timu ya Young Africans, basi wote wakafunga ndoa na leo haitwi tena Beatrice Chalamila bali ni Beatrice (Betty) MKWASA.

Leo hii Zawadi Makata baada ya kupata degree yake moja pale UDSM na kuolewa na Chambuso Mandunduza, Zawadi anagoma kuitwa Zawadi Mandunduza nali anataka kuitwa Zawadi Makata Mandunduzi, ili wakiachana mwakani aweze kuondoa ubini mmoja tu wa mumewe na yeye aendelee na 50 zake.

Daaah, kweli maisha yamebadilika sana..

Kiongozi,
Wachukulie tu kwa uzuri kwani maisha yamebadilika; Sasa hivi majina yana angaliwa sana hasa kwa walio makazini
Mtu hadi achukue Diploma/degree ujue ana vitambulisho mbalimbali ambavyo huwezi kubadilisha majina kirahisi rahisi (Vyeti vya shule na Chuo, Nida, Pass ya kusafiria, nk )
Usumbufu wa kubadilisha hizo nyaraka ni mkubwa sana; bora tu mtu abaki na majina yake...
Kiuhalisia wengi waliosoma vizuri hujiita tu majina ya waume zao kama nickname ....(anaitwa tu ila kiofisi anabaki na majina yake)
Hata kwa taratibu za Kiislam zinamtambua Mwanamke kwa majina (ubini) wa baba yake...
Ukitaka mwanamke abadilishe majina yake na kutumia ya mume, ni rahisi kama umeoa mama wa nyumbani tu asiye na mambo mengi
 
Kiongozi, Chukulia tu positive kwani maisha yamebadilika, Sasa hivi majina yana angaliwa sana hasa kwa walio makazini
Mtu hadi achukue degree ujue ana vitambulisho mbalimbali ambavyo huwezi kubadilisha majina kirahisi rahisi (Vyeti vya shule na Chuo, Nida, Passport, nk nk)
Usumbufu wa kubadilisha hizo nyaraka ni mkubwa sana; bora tu mtu abaki na majina yake...
Kiuhalisia wengi waliosoma vizuri hujiita tu majina ya waume zao kama nickname ....(anaitwa tu ila kiofisi anabaki na majina yake)
Hata kwa taratibu za Kiislam zinamtambua Mwanamke kwa jina la baba yake...hizo nyingine ni mbwe mbwe tu.

Ukitaka mwanamke abadilishe majina yake na kutumia ya mume,ni rahisi kama umeoa mama wa nyumbani tu asiye na mambo mengi
Jibu sahihi kabisa!
 
Ila kwa mujibu wa mtazamo wa kiislamu haifai mwanamke kuitwa kwa ubini wa mumewe

Ubini mtu anapewa wa baba yake tu,kwahiyo kwa waislamu ambao wameyafanya hayo wamefanya makosa sana
 
Ila kwa mujibu wa mtazamo wa kiislamu haifai mwanamke kuitwa kwa ubini wa mumewe

Ubini mtu anapewa wa baba yake tu,kwahiyo kwa waislamu ambao wameyafanya hayo wamefanya makosa sana
Umebadili avatar tena??..
 
Kwani huu utaraibu ulianzia wapi? Sioni hata la maana mke kutumia jina la mumewe ikiwa mke ana majina yake tayari.
Sijui hata nani alianzishaga haya mambo, hata hainiingii akilini🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Ni usumbufu tu namambo yaliyopitwa na wakati.

Hawa hawa wanaokazia wanawake wabadili majina, hawataki hata kuvaa pete za ndoa, wanasema zinawabana vidole 🚮 🚮 🚮
 
Back
Top Bottom