I fall in love with your signatureongera kaka, kwa kufikia hatua muhimu
Mungu alipomuumba Adam, hakumwacha awe peke yake, akamfanyia msaidizi wa kufanana nae- christina shusho. All the best na Mungu awatangulie!Ashukuriwe Mungu. Nafunga ndoa leo usiku huu
Welcome to the lovely world of matrimony.Ashukuriwe Mungu. Nafunga ndoa leo usiku huu
Ashukuriwe Mungu. Nafunga ndoa leo usiku huu
JF bana! yaani baada ya kumchangia nyinyi mnampa hongera tu?
Hongera jibaba, JF kipimo cha uvumilivu, ndoa kipimo cha ............ , watamalizia wahenga.
mjukuu mtiifu, nilikusudia kumchangia mahela.kwani kumpa hongera ni nikuchangia pia Kaka au?