Siku moja fanya huu utalii kwa kwenda mikoa ujawahi enda, utaenjoy

Siku moja fanya huu utalii kwa kwenda mikoa ujawahi enda, utaenjoy

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Utalii sio lazima uende Serengeti

Moja ya utalii ni kwenda mikoa ambayo hujawahi kufika unaweza ukajikuta unafurahia pia

Kuna siku nilipanda basi tu nikasema ngoja nikaione Mtwara kama masihara

Ile napita Mkuranga, Kibiti, Rufiji Daraja la Mkapa, Nangukuru, Lindi aisee Mkoa Wa PWANI, LINDI, MTWARA kuna madhari nzuri sanaaaa hapo ndipo nlipojua utalii Wa Ndani sio lazima uende Makumbusho

Next natarajia kwenda Tukuyu nimesikia panasifiwa sana baada ya hapo next Kilwa Kivinje😀😀
 
Upo sahihi mkuu, na upite hapo kipindi cha masika ndo uta enjoy zaidi ule uoto wa asili ni burudani tosha kwa macho na akili.
 
Sorry ila umechelewa kidogo kujua hili
Nimeenda Kilimanjaro,Arusha,mbeya,mwanza ,Geita Sasa napanga Tanga
 
Fikeni magoroto Muheza kwa Mwanafalsafa mtafurahi.
 
Utalii sio lazima uende Serengeti

Moja ya utalii ni kwenda mikoa ambayo hujawahi kufika unaweza ukajikuta unafurahia pia

Kuna siku nilipanda basi tu nikasema ngoja nikaione Mtwara kama masihara

Ile napita Mkuranga, Kibiti, Rufiji Daraja la Mkapa, Nangukuru, Lindi aisee Mkoa Wa PWANI, LINDI, MTWARA kuna madhari nzuri sanaaaa hapo ndipo nlipojua utalii Wa Ndani sio lazima uende Makumbusho

Next natarajia kwenda Tukuyu nimesikia panasifiwa sana baada ya hapo next Kilwa Kivinje😀😀
Kama ulikua akilini mwangu

Nina trip ya mikoa 15
Kwa 2weeks

Kutembea na kibiashara pia
Natumai nitafurahia 😅

Naanza na mafia ,Mtwara,Ruvuma,sumbawanga,Kigoma,Mbeya

Na pengine patakapojitokeza.
 
Utalii sio lazima uende Serengeti

Moja ya utalii ni kwenda mikoa ambayo hujawahi kufika unaweza ukajikuta unafurahia pia

Kuna siku nilipanda basi tu nikasema ngoja nikaione Mtwara kama masihara

Ile napita Mkuranga, Kibiti, Rufiji Daraja la Mkapa, Nangukuru, Lindi aisee Mkoa Wa PWANI, LINDI, MTWARA kuna madhari nzuri sanaaaa hapo ndipo nlipojua utalii Wa Ndani sio lazima uende Makumbusho

Next natarajia kwenda Tukuyu nimesikia panasifiwa sana baada ya hapo next Kilwa Kivinje😀😀
Nimeioenda idea Yako aisee.
Siku ukienda Tukuyu usiache kuja Uyole kaka.
Screenshot_20240606-102229.jpg
 
Yeah, tena uzuri ukae siti ya dirisha
 
Kama ulikua akilini mwangu

Nina trip ya mikoa 15
Kwa 2weeks

Kutembea na kibiashara pia
Natumai nitafurahia [emoji28]

Naanza na mafia ,Mtwara,Ruvuma,sumbawanga,Kigoma,Mbeya

Na pengine patakapojitokeza.
Huko pazuri sanaa
 
Mimi natamani niende mwanza ni vile sina mwenyeji huko
 
hata ukipata nafasi njoo china mkuu utafurahi sana au uende pale dubai.
 
Back
Top Bottom