Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii zaidi ya betting🤣🤣.bora nichangue kuna somo tuko 400 tu ila sijajua wanataka watu wangapiUnapiga simu za nini sasa Mwalimu, unataka waahirishe usaili mmoja kwasababu wewe umepangwa sehemu mbili siku moja muda unaofanana?
.......Chagua somo moja lala nalo mbele, simu haziwezi saidia kitu muda huu.
Chagua somo unalolimudu weka nguvu hapo.Hii zaidi ya betting🤣🤣.bora nichangue kuna somo tuko 400 tu ila sijajua wanataka watu wangapi
Pole sana.Ase hii mbona inachanganya sana? Yaani tarehe 27 mwezi huu nafanya wrriten interview za masomo mawili na muda ni huohuo.
Kwamba niachane na somo moja? Kwasababu napiga simu zao hazipokelewi.
Unadhani Kwanini pdf la waliokuwa shortlisted, limeondolewa kwenye pages za PSRS ?Ase hii mbona inachanganya sana? Yaani tarehe 27 mwezi huu nafanya wrriten interview za masomo mawili na muda ni huohuo.
Kwamba niachane na somo moja? Kwasababu napiga simu zao hazipokelewi.
Idadi ya nafasi ziliandikwa kwenye tangazo la kazi, kila mkoa wenye uhitaji ulibainishwa pamoja na idadi ya nafasi.Hii zaidi ya betting[emoji1787][emoji1787].bora nichangue kuna somo tuko 400 tu ila sijajua wanataka watu wangapi
Majibu mmeshayapataUngekuwa na majibu ingefaa zaidi
Ali bet tuTTayari mkuu,ila watu mna siri mpaka tunauza mashamba tupate nauli na mnajua kitakachotokea?😀😀
Alete Sasa way forward usahili upo au haupo?Syo rahisi kiasi hicho