Molaro
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 818
- 577
Naomba kuuliza kwa wenye utaalamu wa sheria,siku Muungano uliopo ukivunjika:
1.Je kutakuwa na gharama za kuuvuna mkataba kama ilivyo kwa mikataba mingine?
2:Je Kuna mali za kugawana kati ya nchi hizi mbili?
3.Je Watanganyika waliopo Zanzibar watakuwa na uraia wa wapi na vipi kwa wazenji waliopo bara?
4.Watumishi wa umma waliopo pande za Muungano wakimo Jeshi itakuwaje.
1.Je kutakuwa na gharama za kuuvuna mkataba kama ilivyo kwa mikataba mingine?
2:Je Kuna mali za kugawana kati ya nchi hizi mbili?
3.Je Watanganyika waliopo Zanzibar watakuwa na uraia wa wapi na vipi kwa wazenji waliopo bara?
4.Watumishi wa umma waliopo pande za Muungano wakimo Jeshi itakuwaje.