Kama kawaida,wanzazibari warudi kwao na watanganyika warudi kwao,najua kutakuwa na utaratibu wa kuingia nchi si yako kama unavyofanya marekani na sehemu nyingine. mali zitagwanywa. watumishi wa umma kula mmoja atarudi kwao akafanye kazi katika idara hiyo hiyo.