Siku ngapi zinastahamilika kwa mama mjamzito baada ya kupitiliza siku za kujifungua

Siku ngapi zinastahamilika kwa mama mjamzito baada ya kupitiliza siku za kujifungua

Mnhamba jr

Senior Member
Joined
Mar 10, 2023
Posts
164
Reaction score
448
Wakuu habari,

Kuna mjamzito hapa kapitiliza siku zake za kujifungua, leo hii ni siku ya 13 tangu tarehe ya makadirio aliyo andikiwa. Huu ni ujauzito wake wa pili na wa kwanza haukuwa na changamoto zozote na alijifungua kwa njia ya kawaida.

Mzazi mtarajiwa haelewi hapa maana anadunda yaani dalili ya uchungu hana kabisa. Maoni yenu wakuu hiki kiumbe kimeng'ang'ania tumboni bado.
 
Mpeleke hospital watamechek utra sound watakupa majbu ya ufasaha
 
Mpeleke hospital watamechek utra sound watakupa majbu ya ufasaha
Mkuu, hospital tumeenda juzi ijumaa na akachekiwa ultra sound wakasema hakuna tatizo arudi baada ya siku kumi. Hofu ninayo mimi mana sina uzoefu kwenye hili na naona siku zitakuwa nyingi sana
 
Usiwe na hofu make sure hizo siku kumi unampeleka au weka mazingira safi tu ya usafiri siku yoyote kinaweza nuka ukamuwaisha hospitali
 
kuwa na amani mkuu wala hamna tatizo maana wew sio wa kwanza
 
Back
Top Bottom