mapipando
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,922
- 3,559
Kwanza niwatakie siku njema wakuu.
Nimejaribu kuwaza kwa sauti siku mimi mapipando nitakapo ondoka dunia hii ni nani atajua humu ndani?
Kweli tunafahamiana juu kwa juu,tunataniana, tunapeana like,tunaudhiana,tunachekeshana kweli kiasi kwamba mtu usipoingia humu unajihisi kupungukiwa jambo muhimu.
Kumekuwa na desturi ya kuulizana mbona flani siku hizi haonekani,mbona kimya kimezidi juu ya mchangiaji fulani.Jibu la alipo huyo anaeuliziwa huenda likapatika endapo kuna member mwingine/wengine ambao wanamfahamu/wanafahamiana nje ya jamii forum.
Mbali na Lacute niliyefanikiwa kuonana nae mwaka 2015 ambae hajaonekana mda mrefu humu na pia nimekuwa nikimpigia simu hapatikani,sina ninaemfahamu nje ya hili jukwaa,ndio kusema siku nikifariki jukwaa hili halitajua? halitasikitika kunipoteza? halitanitakia safari njema?
Ni mtazamo tu.
Nimejaribu kuwaza kwa sauti siku mimi mapipando nitakapo ondoka dunia hii ni nani atajua humu ndani?
Kweli tunafahamiana juu kwa juu,tunataniana, tunapeana like,tunaudhiana,tunachekeshana kweli kiasi kwamba mtu usipoingia humu unajihisi kupungukiwa jambo muhimu.
Kumekuwa na desturi ya kuulizana mbona flani siku hizi haonekani,mbona kimya kimezidi juu ya mchangiaji fulani.Jibu la alipo huyo anaeuliziwa huenda likapatika endapo kuna member mwingine/wengine ambao wanamfahamu/wanafahamiana nje ya jamii forum.
Mbali na Lacute niliyefanikiwa kuonana nae mwaka 2015 ambae hajaonekana mda mrefu humu na pia nimekuwa nikimpigia simu hapatikani,sina ninaemfahamu nje ya hili jukwaa,ndio kusema siku nikifariki jukwaa hili halitajua? halitasikitika kunipoteza? halitanitakia safari njema?
Ni mtazamo tu.