Eti hiyo n kaz yao wapenda vitongaWalisemaje mkuu?
Ume onaeeee???Kufahamiana ni kupenda kitonga?
Hakika waliosema hivyo mawazo yao yalikuwa potofu.
Na mungu alivyo kuwa waajabu, unakufa hapa Tanzania unaenda kuzaliwa tena upya Maeneo ya DUBAI,Ha ha ha ha ha bahati mbaya ni lazima hili jambo litokee,haijalishi unapenda ama la.
pole.
Ahhha sanaa mbinguni kuna raha hatari, kule ni kuimba na mapambio, Naona kama siku hazifiki vile, nina hamu kweli na mbinguni kwa baba,Kuna raha mbinguni kweli
Aisee huu uzi umenitoa kwenye mood
Haha haha haha, sasa hapo tutakuwa tunakuona kwenye Forum Kubwa WARRIOUR FORUM, NAIJA FORUM, kwenye JF Utakuwa unaingia ila utakuwa siyo mpenzi sana kama sasa hiviHalafu najiunga tena jf teh teh teh teh
Mda huo na wewe utakuwepo hapa tz kweli? au ndio na wewe utakuwa umezaliwa Mexico huko?Haha haha haha, sasa hapo tutakuwa tunakuona kwenye Forum Kubwa WARRIOUR FORUM, NAIJA FORUM, kwenye JF Utakuwa unaingia ila utakuwa siyo mpenzi sana kama sasa hivi
basi hutakufaParapanda italia parapanda
Oooh parapanda italia parapanda
Tutakwenda kumlaki bwana mawinguni
Mm sipendi kufa jaman
Wapo, wengi tu...Pole mkuu,kumbe na wewe huna unaefahamiana nae nje ya humu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]basi hutakufa
njoo bas kule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]