Siku nikikutana Financial Services wa JF nitamuuliza maswali haya

You are a nice lady. I appreciate you.

Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
 
Ok! Baby kipenzi cha wengi naenda Zangu...... ila usishangae nikikuita Ikulu kwa kazi maalum manake umejibu maswali yote humu vizuri... uliyoulizwa na wana JF bye!!......... wanaanziaga padooog sana!
Hahaa kazi maalum hapo🤔 ahsante na nipo makini mkuu usihofu kuhusu wanapoanziaga kabisa... itakua na maamuzi yangu mwenyewe tu na sitojutia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…