LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Tukio hili ndo lilinifanya nisiende kanisani toka mwaka 2003.
Ni hivi siku hiyo nilichelewa kanisani so nikapata nafasi kwenye siti za nyuma..
Wakati misa inaendelea ghafla nikasikia harufu ya moshi wa sigara..Kupiga jicho pembeni namuona jamaa amekaa anavuta sigara.
I say nililitetemeka kwa hasira hadi glasi yangu ya pombe niliyokuwa nimeishika mkononi ikadondoka na kumwaga pombe yote ..
Toka siku hiyo sijaenda tena kanisani..
SOURCE: JAMAA WA KITAA
Ni hivi siku hiyo nilichelewa kanisani so nikapata nafasi kwenye siti za nyuma..
Wakati misa inaendelea ghafla nikasikia harufu ya moshi wa sigara..Kupiga jicho pembeni namuona jamaa amekaa anavuta sigara.
I say nililitetemeka kwa hasira hadi glasi yangu ya pombe niliyokuwa nimeishika mkononi ikadondoka na kumwaga pombe yote ..
Toka siku hiyo sijaenda tena kanisani..
SOURCE: JAMAA WA KITAA