Eeh kwahiyo nimuachie makalio wife kizembe tu..
Usiogope.Ni mwili mmoja.Hata akitaka kukukamua jibu,ni sawa tu.🤣🤣🤣Je anakua anakushika kiuno au anakushikaje akiwa nyuma ya mgongo?
Wanaogopa kwamba wenza wao wataona makalio yao madogo kama mapera yalivyopauka kwa kukaa kwenye majivu.Unamuoneaje soni mweza wako/mke?Ajabu hii!Mmmh?Nyie vipi? Mimi mbona kukumbatiwa kawaida tu! Tena kama anajaribu kutafuta viupele mgongoni na kiviminya! Swafi kabisa stress zote kwishinei
Acha utaniUsiogope.Ni mwili mmoja.Hata akitaka kukukamua jibu,ni sawa tu.🤣🤣🤣
Naona leo nipo akilini mwako unani kream kama mtihani wa moku
Mim kimbaombao nawezaje mkumbatia mtu mkubwaHaiondoi uanaume, siku moja moja, wakati wa kulala, mke akukumbatie wewe, it feels so fantastically good.
Kuwa mwanaume sio kuwa ndo ni jiwe, get a hug some day and you will remember this thread, especially on how nice it feels to.
Wadada muwakumbatie waume zenu wakati wa kulala, it is so relaxing.