bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Ikitokea siku timu ya taifa Mpira wa Miguu ikabeba Kombe la Dunia,kombe hilo litahifadhiwa wapi?
Kwenye Ofisi za Tff,Kambi za Jeshi au tutaomba nchi za nje watuhifadhie au likafichwe hata vijijini huko?
Manake nasikia kombe lile ni Dhahabu Tupu.
Na vile hata ukivaa kapete kadogo tu kadhahabu watu wanakuchongea dili Je hilo Kombe itakuaje Sasa?
Kwenye Ofisi za Tff,Kambi za Jeshi au tutaomba nchi za nje watuhifadhie au likafichwe hata vijijini huko?
Manake nasikia kombe lile ni Dhahabu Tupu.
Na vile hata ukivaa kapete kadogo tu kadhahabu watu wanakuchongea dili Je hilo Kombe itakuaje Sasa?