Siku tisa sasa miili ya wahanga wa ajali Feri ya Likoni haijaopolewa

Kumbe huaga unaumizwa na gated communities...naona unajiliwaza na foreigners
Watu wako proud na skyscrapers za Muhindi sijui Westlands, wakijivunia picha za gated community zilizojaa foreigners huku ndugu zao weusi wakifa maji hata basic rescuing gear hawana, so sad!
 
Mdude ndio kapatikana
 
Wakenya kuanzia Leo lazima mkubali kwamba KDF is the weakest Army in this zone. Sasa anzeni kuuliza umuhimu wa bajeti kubwa kwa Wizara ya Ulinzi kama KDF halina uwezo wa kusaidia katika mambo muhimu kama hili. Pesa yote wanagawana wakikuyu.
 
Wakenya kuanzia Leo lazima mkubali kwamba KDF is the weakest Army in this zone. Sasa anzeni kuuliza umuhimu wa bajeti kubwa kwa Wizara ya Ulinzi kama KDF halina uwezo wa kusaidia katika mambo muhimu kama hili. Pesa yote wanagawana wakikuyu.
Maadui wa kenya sasa wameshajua kuwa wakitaka kuivamia kenya wapitie baharini maana kuna weak and useless kenya Navy Army πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…