Miaka hiyo freemasons ndo yamepamba moto tukawa na mjadala na walokole fulani walikuwa wanapita na vigazeti tuokoke kubishana nao ikabidi nianze na uzi wa Wajesuits Jukwaa la Dini/Iman!. Mtu wa kwanza kucomment alikuwa charminglady [emoji2] ingawa Mzee Mwanakijiji ndio alitoa points.