Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Nimetafakari Sana namna ccm inavyohujumu upinzani inavyowafanya wapinzani kuwatesa kuwabambikia kesi kuwauwa nk
Natoa rai siku mkishika madaraka upinzani muwapimie ccm kipimo kilekile wanachowapimia nyie Leo isipokuwa tu msiwauwe hilo muachieni mungu
Hata hivyo mtakapowasulubisha mjiepushe kuwapatiliza wale ambao hawakuwafanyia ubaya mfano ccm ya JK mnaweza kuivumilia japo kuna watu ambao ni walewale wamo kwenye mfumo ila muwe selective ila ccm Hii ya jiwe walahi nyokeni nayo kwa vipimo vyote isipokuwa shingo zao tu mengine yote ni halali yao!!!!
Natoa rai siku mkishika madaraka upinzani muwapimie ccm kipimo kilekile wanachowapimia nyie Leo isipokuwa tu msiwauwe hilo muachieni mungu
Hata hivyo mtakapowasulubisha mjiepushe kuwapatiliza wale ambao hawakuwafanyia ubaya mfano ccm ya JK mnaweza kuivumilia japo kuna watu ambao ni walewale wamo kwenye mfumo ila muwe selective ila ccm Hii ya jiwe walahi nyokeni nayo kwa vipimo vyote isipokuwa shingo zao tu mengine yote ni halali yao!!!!