Labda wewe ndio unafake life..Kwa maisha tunayoishi jf ya ufahari mkubwa
Magari ya bei mbaya!
Majumba ya kifahari
Kazi nzuri nzuri
Mavazi ya kifahari
Jf hakuna aliyepanga chumba kimoja labda Nyumba nzima kodi 3 millions na zaidi
Hakuna anayekula kwa shida!
Kila mtu anatembea amekaa tena sio starlet!
Hakuna anayepata mshahara Wa chini ya laki 9!
Wote tumeajiriwa vitengo nyeti!
Au tuna mabusiness au makampuni cc husnathebossylady!
Hakuna anayeungaunga life!
Wote tuko mahandsome na mabeautifu
Tuna ngozi nyororo na sura za mvuto!
Mods naomba watusaidie kupanga get together party walau tukutane one day!
Na wamikoani nao waje dar! Au Wa dar waende mikoani
Hahhaahhaaaa....
Imekutach au.hahahaHahhaahhaaaa....
Namm sitokubali ntakukimbizaaaa mpaka usarende[emoji28] [emoji28]Hasa ww nitakimbia mpaka miguu ifike kisogoni Hahaha
Nimefurahi tuu mkuu[emoji4]Imekutach au.hahaha
Namm sitokubali ntakukimbizaaaa mpaka usarende[emoji28] [emoji28]
Ikoleze bhanaaa...Hahaaa naona ile dawa haijakukolea
Maana hyo ngozi yako kama rihana du[emoji4] [emoji12]Nimefurahi tuu mkuu[emoji4]
Ikoleze bhanaaa...
Yaani hata riri mwenyewe anasubiri hapa,...teh teh!!!Maana hyo ngozi yako kama rihana du[emoji4] [emoji12]
Aaah,sio leo jioni???[emoji15]Uje kesho niikolezee hahaaa
Hata yeyeWengi "WAHAYA" humu.