hapana sio kweli, nakupinga mleta mada...! mana hata wakat joh or fid wanaingia kwa game kuna wakongwe walikua ndo wanakufa kimuziki bt we didnt even thought kwamb hawa wakina joh wangefika hapa.! honestly naamini uwepo wa hao watu kweny game ndo unafanya upcoming weng washindwe toboa. wenzetu wabana pua wanapigana tafu kishenzi lakn huku wakina stamina wanataka tujiinue wenyewe bila sapot yao.! thats hiphop hainogi wala haina challange bongo.