hahahahaaaaa, choo cha kujisaidia mpwa!, whether ni cha kukaa au kuchuchumaa au cha shimo, lakini ni choo cha kujisaidia.
gp ni msikilizaji mzuri sana wa power-breakfast ya clauzi efuemu!safi...na umekula senksi yako kule
Yaani wazungu wanabuni vitu vya
kutu dhalilisha...na sisi tunasherehekea...
Its so stupid...
wanawadhalilishaje?sijakuelewa mkuu,mie niko Lindi kwenye maadhimisho ya World Toilet Day...na hii ilipitishwa na baraza kuu la umoja wa mataifa na inasheherekewa duniani kote..sasa huuko kudhalilishwa kwako ni kupi
Yaani wazungu wanabuni vitu vya
kutu dhalilisha...na sisi tunasherehekea...
Its so stupid...