beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Kwa mujibu wa Wizara ya Afya, 7% ya Watanzania wanaathiriwa na Ugonjwa wa Figo na idadi ya Wagonjwa inaongezeka
Inashauriwa kuzingatia Lishe Bora, kula Matunda/Mbogamboga, kupunguza kiasi cha Chumvi pamoja na Matumizi ya Pombe na Tumbaku
Mtindo wa Maisha na Vyakula tunavyokula vinaweza kuimarisha au kuhatarisha Afya ya Figo
Dalili za Ugonjwa wa Figo
1) Kisukari
2) Shinikizo la damu, Saratani
3) Matumizi ya pombe kupita kiasi
4) Magonjwa ya kuambukiza kama Malaria
5) Kuvuta sigara au matumizi ya aina ningine yoyote ya tumbaku
6) Uzito mkubwa kupita kiasi, unene au kitambi
7) Kula vyakula vyenye mafuta, sukari au chumvi kwa wingi
Chanzo: Wizara ya Afya
Inashauriwa kuzingatia Lishe Bora, kula Matunda/Mbogamboga, kupunguza kiasi cha Chumvi pamoja na Matumizi ya Pombe na Tumbaku
Mtindo wa Maisha na Vyakula tunavyokula vinaweza kuimarisha au kuhatarisha Afya ya Figo
Dalili za Ugonjwa wa Figo
- Kuvimba uso na macho
- Kuvimba miguu
- Kukojoa sana hasa wakati wa usiku
- Uchovu wa mwili
- Maumivu ya kifua na kupumua kwa shida
1) Kisukari
2) Shinikizo la damu, Saratani
3) Matumizi ya pombe kupita kiasi
4) Magonjwa ya kuambukiza kama Malaria
5) Kuvuta sigara au matumizi ya aina ningine yoyote ya tumbaku
6) Uzito mkubwa kupita kiasi, unene au kitambi
7) Kula vyakula vyenye mafuta, sukari au chumvi kwa wingi
Chanzo: Wizara ya Afya