Siku ya Figo Duniani, Machi 14

Jimjuls

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
486
Reaction score
168
Habarini wana JF.

Kuna mtu anayefahamu maadhimisho ya Siku ya Figo duniani yatafanyika katika Mkoa upi na Hospitali ipi kwa mwaka huu?

Kwa mwaka Jana kwa pale Arusha waliiadhimisha katika Hospitali ya AICC na kulikuwapo na huduma ya upimaji Figo kwa waliohudhuria..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…