@KYALOSANGIJumapili ni siku ya kucheka Duniani .....ampapo kila mtu anashauriwa kucheka kwa ajili ya furaha ya moyo wake na amni ya dunia kwa ujumla ,,,,jifunze kucheka uone ni jinsi gani utakuwa na afya bora ....maelezo zaid log on INTERNATIONAL LAUGHTER DAY !KAZI KWAKO