Siku ya kwanza kufanya mapenzi na mwanamke nilimkuta ana harufu mbaya sana ukeni, nikahisi wote wapo hivyo kumbe sivyo!

Kuna watu mna gundu.....mm kwakweli nilianza na demu bikra kabisa.....Mungu anipe nn tena...baada ya hapo ndio zmefata hz kuukuu
 
Kuna kaharufu flani hivi ka papuchi huwa hakatoki hata iweje,,,sema hiyo harufu mbaya ni uchafu (na huenda ndiyo maana alikutongoza hana soko hata kwa mumewe)
 
Kuna kaharufu flani hivi ka papuchi huwa hakatoki hata iweje,,,sema hiyo harufu mbaya ni uchafu (na huenda ndiyo maana alikutongoza hana soko hata kwa mumewe)
May be.
Nasikia walishaachana tayari
 
Hizi hadithi mimi nazisikia tu JF tu. Sijawahi kusikia wala kumpata wa hiyo harufu.

Au yawezekana nimeshakutana nazo nikaziona za kunipa mzuka zaidi!
Dah! Haya mambo bhaana!
Itakuwa ushazizoea
 
When the first time experience is horrible, you might think the rest are the same...

Pole sana...



Cc: mahondaw
 
Kama ulianzia mke wa mtu, nakuhakikishia mademu zako wewe watakuwa mara nyingi ni majimama makubwa makubwa/ single mothers
 
Kuna kaharufu flani hivi ka papuchi huwa hakatoki hata iweje,,,sema hiyo harufu mbaya ni uchafu (na huenda ndiyo maana alikutongoza hana soko hata kwa mumewe)
Hako kaharufu nimecheka mpk nimewashtua majirani huku nacheka mwenyewe!
 
Mi huwa nashangaa mwanamke anagawa papuchi kwa wanaume hovyohovyo,hajui kua anajidhalilisha hasa inapotokea papuchi yake inanuka nayeye hajijui.
Nilimuona dada mmoja hivi,mzuri,anasemwa na wadau kua ananuka K vibaya sana,nikamuonea huruma yule dada,nikajisemea kua angekua anajijua alivyo,angeacha uhuni,atafute dawa kwa gycanalogists,athibiti tatizo,na kama umalaya ndiyo aendelee nao.Kwakweli ni aibu sana na ni kero sana kunuka.
 
Kuna kunuka uchi na kuna kunuka kike... Kunuka kike ndio huwapa wanaume mzuka
 
Ukimwona Mtanzania hatumii jf ujue kuwa huyo hajasoma na kama amesoma basi ni lofa, na kama sio lofa basi ni kipofu na kama sio kipofu basi hana nguvu za kiume
Saa 8 usiku bado navunjavunja mbavu kwa komenti zenu jf raha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…