Siku ya kwanza kufanya mapenzi nili-sex na wanawake wawili

Mzee kwenye mkate kurudia tu soda mkate kwisha alikuwa na mashine kwa mdomo haaahaa
 
Ilikuepo ni mwaka gani ndugu . Labda ungeanzia hapo ingetusaidia
 
Aiseeeeh mtu unaenda shule tena kuanza 4m 5, hiyo hamu ya ngono inatoka wapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani ungeandika kifupi si tungeelewa tu mkuu.

Asante
 
Story nzuri...lakini kama una mpango wa kuja kuwa Muandishi wa Habari, jifunze kufupisha habari.
Kuna mambo mengi kwenye stori yako ambayo hayakuwa na ulazima kutueleza!
Ungeweza kuyaasha tu na yasingeharibu hata kidogo mtitiriko wa story yako.
Ukitaka kuwa muandishi mzuri, rudia tena kuisoma hadithi yako na uone mwenye uliyopaswa kuhariri!
 
Huyu mwandishi wa story hii namfaham, rafiki yangu sana tu!! Kama ni kuwaokota, kawaokota sana! Nishamshauri arudi facebook kwenye group la "hadithi tamu za mapenzi" atu enjoy, ila hata haskii![emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
 
Kwa story hii kuna wanaume humu minara imesoma 4G.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…