Ila kuna watu majeuri🤣🤣Siku ya Kwanza alikuja Dada mmoja ana biashara kama yangu jirani Kama mita 100(sikua najua nilikuja kujua baadae) hata hakusalimia, alifika na kusema nimekuja kukopa kama haiwezekani naenda zangu jiuzie mwenyewe huyo akajiondokea zake.Nikajisemea kazi ipo nikabaki nashangaa.
😂 Acha kabisa kumbe alikua na lake Jambo. Kuna siku alikuja tena na mwenzie wakazunguka then wakaondoka Mimi kimya nipo jf 😎Ila kuna watu majeuri🤣🤣
Walikuja kuchunguza hao😂 Acha kabisa kumbe alikua na lake Jambo. Kuna siku alikuja tena na mwenzie wakazunguka then wakaondoka Mimi kimya nipo jf 😎
Na bado hakuishia hapo akaanza maneno yakafika hadi kwa mzee mwenye mjengo kuwa namharibia biashara, mimi kimyaaaa 😅Walikuja kuchunguza hao
Ila hyo ni tabia ya miswahili sana, vema ulivyowapotezea
Siku ya Kwanza alikuja Dada mmoja ana biashara kama yangu jirani Kama mita 100(sikua najua nilikuja kujua baadae) hata hakusalimia, alifika na kusema nimekuja kukopa kama haiwezekani naenda zangu jiuzie mwenyewe huyo akajiondokea zake.Nikajisemea kazi ipo nikabaki nashangaa.
Na bado hakuishia hapo akaanza maneno yakafika hadi kwa mzee mwenye mjengo kuwa namharibia biashara, mimi kimyaaaa [emoji28]
Baadae akaanza kujileta na kujichekesha akiishiwa bidhaa anafuata kwangu.
Mwanzo n mgumu ukiwa huna uvumilivu unaweza funga biashara.
Ukisikia wanga wa mchana ndio hawa. Alikuja pale kuku-frustrate 🥴🤒😁Siku ya Kwanza alikuja Dada mmoja ana biashara kama yangu jirani Kama mita 100(sikua najua nilikuja kujua baadae) hata hakusalimia, alifika na kusema nimekuja kukopa kama haiwezekani naenda zangu jiuzie mwenyewe huyo akajiondokea zake.Nikajisemea kazi ipo nikabaki nashangaa.
Ndio waswahili wengi walivyoUkisikia wanga wa mchana ndio hawa. Alikuja pale kuku-frustrate 🥴🤒😁