Siku ya kwanza kusaliti ulijisikiaje?

holy holm

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2017
Posts
4,793
Reaction score
9,101
Tushasikia siku ya kwanza kupanda gari,kupanda ndege,kufnya mapenz n.k watu wakatoa hisia zao ikiwemo na viroja walivyokutana navyo siku hyo

Je siku yako ya kwanza ku cheat katika mahusiano ya kimapenz na kijamii ulijisikiaje uliona ni kawaida ama ulijisikia kukosa!?
 
To me sijawahi cheat asee cause mamsi niliyonayo saiv iko yente laana yaan akuna kitu nakosa chaliloo,so niki'cheat ntabofonga apaapa kwa fas
 
To me sijawahi cheat asee cause mamsi niliyonayo saiv iko yente laana yaan akuna kitu nakosa chaliloo,so niki'cheat ntabofonga apaapa kwa fas

Mimi hoi!

Sema siku ukicheat na ukabofonga kwa hii fas fanya kama unanitag
 
Msinikumbushe nlishindwa hata kula. Nlikiwa na mawazo balaaa, ila alisababisha yy maana alianza kunipangia siku za mgegedo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…