Siku ya Leo (wed,march 27) mbona Kama haitaki kuisha

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Wakuu unaweza ukafikiri Kama masaa hayaendi kiukawaida wake kwa sababu naona Leo siku imekuwa ndefu sana.toka asubuhi niliikatia tamaa ndo maana natamani ifike TU usiku nilale
Nakazia:hela imekuwa ngumu Sana yaani hata kumwomba rafiki yako buku TU unaona aibu maana Kama wewe Hauna yeye atapatia wapi?maisha yamekuwa mazuri lakini hela ndo msala.tuendelee kukomaa lakini tuzitafute hata Kama tutazipata tukiwa tayari na mvi.sio mbaya ilimradi zitakuwepo mfukoni za kula.. na Tena hata wanawake kaeni mbali na Mimi kipindi hiki sitaki kabisa kwanza nishagundua naweza kuishi peke yangu bila msaidizi wa kufanana nami.
 
ww si kila siku unasema Rais wako kafanya maisha yawe mazuri ukaenda mbali zaidi umasema umenawiri msambwanda area..shavu dodo mwanaume kiuno nyiguu..ss unakuja hapa unalia lia nn?si nenda Lumumba ukapate mgao😎
 
Write your reply...hilo dege hiloo... hilo dege hiloo 🎶 (in offside trick voice)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…