Siku ya pasaka ni siku ya sherehe ya kufufuka kwa Yesu kristo na sio ufuska

Siku ya pasaka ni siku ya sherehe ya kufufuka kwa Yesu kristo na sio ufuska

goldcall

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
416
Reaction score
567
Clear understood, sikukuu hii ya pasaka ni siku maalumu kama kumbukumbu ya kufufuka kwa Yesu kristo na si vinginevyo, manake ufuska, ulevi na mambo mengine ya ajabu, hufanywa sana siku kama ya leo, wadangaji mtulie, slays queens kaeni nyumbani mtubu, acheni kulandalanda mitaani kuinajisi siku nzuri tena takatifu,

Mtasema nasema maisha ya watu, ni hivyo sikukuu ya pasaka sio kwa ajiri yenu kwenye ulevi,ufuska na ukahaba siku yenu ilishapita ya kuvaa nguo nyekundu valentine day, kwaiyo kama mnapanga maangamizi leo ninawasihi mkafanye siku nyengine.

MSIJIFANYISHE KAMA HAMLIONI HILI:

Msisahau kunawa mikono au ku sanitize covid-19 ni hatari tulia nyumbani, vijiwe na mikusanyiko isiyo ya lazima corona itakusaidia kukupeleka unakokutaka acheni ujuaji, acheni ubishi, tulieni nyumbani na kufuata maelekezo yanayotolewa na wizara ya afya.
 
Wakumbushe pia kuchukua tahadhari dhid ya corona

Wanawe mikono kwa maji tiririka.

Waache misongamano na pia wajisanitize.

Wasisahau kuchapa kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
U nani wewe mpk uingilie Uhuru wa wengine..?
Umesahau hata kristo aliponya siku ya sabato! Nasi vivyohivyo tutaenenda vya kuenenda kwa maana hakuna siku maalum ya wema ama ubaya.
 
U nani wewe mpk uingilie Uhuru wa wengine..?
Umesahau hata kristo aliponya siku ya sabato! Nasi vivyohivyo tutaenenda vya kuenenda kwa maana hakuna siku maalum ya wema ama ubaya.
Mtu mbishi kama ww nikigundua una corona alafu unanikaribia nakudungua shaba huko huko kwa mbali....
 
Nikuulize mkuu kwani nani aliwai kukataza kwenda kwenye kibarua chako. Waache watu wakatafute riziki na furaha pia


It is never to late to begin. Start now
 
Wakumbushe pia kuchukua tahadhari dhid ya corona

Wanawe mikono kwa maji tiririka.

Waache misongamano na pia wajisanitize.

Wasisahau kuchapa kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi tunachapia wapi ! Unakuta chumba kimoja wanaishi watu 6 hapo tayari kuna msongamano.
Kazi zingine kama "ufuska" nimenukuu tunazichapa kwa kusongamana.
Korona ni hatari ila Tuchape kazi.
 
Kazi tunachapia wapi ! Unakuta chumba kimoja wanaishi watu 6 hapo tayari kuna msongamano.
Kazi zingine kama "ufuska" nimenukuu tunazichapa kwa kusongamana.
Korona ni hatari ila Tuchape kazi.
..
IMG_20200412_125329.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom