siku ya sheria nchini

siku ya sheria nchini

Werankira

Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
7
Reaction score
4
ni kwelph mahakama ni muhimili wa dola ambao ndio una wajibu mkubwa wa kutoa haki kwa jamii.. najiuliza mahakama itatekelezaje wajibu huo wakati yenyewe haipo huru? uwepo wake unategemea serikali muhimili mwingine wa dola.. mahakama ipo chini ya wizara ya sheria kwa mujibu wa sheria.. tupiganie mahakama huru kwa kuleta mapinduzi ya katiba.. tuamke watanzania!
 
Back
Top Bottom