Siku ya Sheria

Siku ya Sheria

  • Thread starter Thread starter Deleted member 421398
  • Start date Start date
D

Deleted member 421398

Guest
Kama Jaji Mkuu,Rais Magufuli au Waziri Kangi Lugola wasipoliongelea lile tukio la DED kuamuru mtu kupigwa risasi kanisani ni wazi watakuwa hawana UTU na UZALENDO ambao wanaupambania kila kukicha,maana hata Jaji Mkuu nae hatakuwa na maana mbele ya MAHAKAMA[emoji848]
#ChangeTanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom