Siku ya wafanyakazi kenya

Siku ya wafanyakazi kenya

Exaud J. Makyao

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2008
Posts
1,518
Reaction score
24
1. Wafanyakazi wataka nyongeza ya mishahara.
2. Dini zataka utatuzi wa matatizo yanayowakabili wakenya.
3. Vyama vya wafanyakazi vyataka yafuatayo:-
- mabadiliko yafanywe katika utendaji wa jeshi la polisi,
- uwanja wa nyayo usiitwe uwanja wa coca cola,
- mzozo wa migingo utatuliwe,
- kampuni ya taifa ya simu isibakie mikononi mwa wawekezaji wa kigeni,
- posho za wabunge zikatwe kodi,
- sheria mpya za wafanyakazi zitekelezwe kikamilifu.
- tangazo kwamba mume na mke wasiruhusiwe kufanya kazi katika ofisi moja ya serikali libatilishwe.
4. Waziri wa kazi asoma hotuba kwa niaba ya rais:-
- atahadharisha athari mbaya za mparaganyiko wa kiuchumi duniani.
- ataka waajiri wasipunguze wafanyaki badala yake watafute njia nyingine ya kuongeza ufanisi.
- kima cha chini cha mishahara chapandishwa.
 
Back
Top Bottom