Siku ya wanawake duniani, pitia hapa tunawa-appreciate wanawake wa JF

Asnte mpnz, tunakupenda pia [emoji7]
 

Dah... Umejichanganya kwelikweli.... Hapo kuna wanawake watatu tu.....waliobaki ni wasichana na wengineo [emoji13] [emoji13]
 
Asante mpendwa, tunawapenda pia.

Wewe ndio umetumaliza wote, [emoji2] [emoji2] [emoji2] shukrani Lazizi chimbuko la moyo wangu kesho jioni nataka orange and mustard chicken tu ili siku yangu itimie.

Miss you pizza eating bandit
#MalkiaWaNguvu#

Mubashara ndio nini?
Ni nini hasa kinachofanya hii siku iwe ni siku maalumu kwenu?

Ni nini chimbuko la siku hii?


Kwanini iwe ni tarehe 8 march na sio 29 february, 30 june au 2 may?.

Kuna kipi cha maana kinachofanyika kwenye maadhimisho ya siku hii?
 
Thank you sana Daby,and I love you[emoji8]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…