Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”

Mkuu..
mimi naona unamtamani Mama yetu...
Sio kwa sifa hizi...Secret admirer....
Duh...!, Mkuu Teknocrat, hapo nimesifu kidogo tuu, unasema eti nimetamani!, mbona hivi ni vitu vya kawaida sana kwa00 binadamu!. Mimi ni binadamu tuu, I'm a human being like all other human beings, and she is a human being too!, hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote, kuwa a secret admirer wa mtu yoyote, ila mimi sio a secret admirer, mimi ni open admirer!. Kama bandiko hilo wewe unaona ndio nimesifia sana mtu, jee ungeona bandiko hili, Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” ungesema nini?, au jee ungemjua mtu aliyesifiwa hapa ni nani, ungesemaje? Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?

Tena msidhani nimeanza kum observe leo, angalia tarehe ya bandiko hili New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!. na uangalie nilisema nini juu ya mtu huyu?.

Kisha angalia hapa uone hii ni ya lini, Wajue The Top Five Most Prominent Members wa Bunge Maalum la Katiba!.

Twende hapa angalia hii ni ya lini, na anayezungumzwa ni nani, Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

Kama wewe una uwezo, to read in between the lines, angalia bandiko hili, nilisema nini kumhusu mtu huyu na nilimshauri nini Blaza kuhusu 2020!.
P
 
Kwa vile leo ni birthday ya Rais Samia, nawaomba wana jf well wishers, tuungane kumu wish a Happy Birthday this lovely lady Rais wetu mpendwa, Rais wetu mpenzi, Rais wetu kipenzi, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan, Chifu wa kabila kubwa kuliko makabila yote Tanzania, ambayo Kanda ya kabila hilo ndio Kanda determinant ya kura za urais wa JMT, Chifu Hangaya.
Happy Birthday.

P
 
Tuwatakie wanawake wote duniani maandalizi mema ya siku yao hapo kesho.
P
 
Leo siku ya wanawake duniani, hongera sana kwa wanawake wote duniani akiwemo Mwanamke huyu!.
P.
 
Wanabodi,
Ingekuwa ni amri yangu, ningemwambia tuu naniliu aamue 2020 asigombee his second term, na badala yake, ampishe ili awe huyu mama!.

Mungu ambariki sana Mama Samia na kuwabariki wanawake wote leo siku ya Wanawake Duniani.
Paskali
Mimi Paskali wa Jeiefu, ninawatakia wanawake wote maandalizi mema ya siku yao ya wanawake duniani hapo kesho.
Paskali
 
Naunga mkono hoja, mtu mwenye wajihi kama huu, Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” hawezi hata kuua panya!, kama ni kuua labda mbu, mende na sisimizi.

Ila kwa vile yuko serikalini na yeye ndie mkuu wa serikali, na anajua kuna mazingira fulani, serikali zote duniani huwa zina waua watu hatarishi kwa usalama wa nchi, dissidents, na kabla hawa dissidents hawajauliwa lazima CinC asaini ile death warrant, then death warrant yoyote ikisainiwa, aliyeua ni aliyesaini death warrant na sio wale watekelezaji.

Ikitokea makosa ya watu wake kumuua kwa makosa mtu safi kwa kudhaniwa ni dissident, then the blood of that person is upon aliyetoa hiyo order kwa niaba yake.

Na kunapotokea vifo ambavyo vingezuilika kwa kufanya kitu lakini hakikufanyika, then damu iliyomwagika is upon yule ambaye angezuia lakini hakuzuia.

Hivyo tumeshauri Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!
P
 
Hapa pia nilisema kitu kuhusu Samia na 2025!.
P
 
HBD Rais Samia!.
P
 
Leo ni siku ya wanawake duniani, hizi ni salaam zangu za siku hii, Siku ya Wanawake Duniani: Wanawake Acheni Kubwetekea Kubebwa. Viti Maalumu ni Kubebwa, Je Tuvifute. Wanawake Mjibebe?, Au Mnapenda Uroda wa Kubebwa?.

Nawatakia wanawake wote wa TiZii
Heri ya siku ya Wanawake Duniani.

Tena, by the way, naombeni mnipe pole, tumempoteza mmoja wa wanawake muhimu sana kwenye maisha yangu, tumempoteza mama mzaa Chema wangu, ameitwa kwa Muumba wake, akiwa Babati, tunampumzisha kwenye makao yake ya milele siku ya Jumatatu katika kijiji cha Gendi kwenye malalo ya ukoo wao.


View: https://youtu.be/oezcYCl60OI?si=MI6vvCGOptf82N8b
RIP Mama MKwe wangu.

Paskali
 
Hahaha asee
 
8 years ago
Mkuu PSL god , its true its 8 years ago!. Ukisikia kauli huumba, ni kweli kauli huumba, angalia hizi kauli za 8 years ago
Kauli hii ikamuumbia urais wa JMT kupitia kudra za Mwenyezi Mungu!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…